CHAMA CHA MAPINDUZI
UMOJA NI USHINDI, AMANI NA MAENDELEO ...!!!

Monday, November 1, 2010

DK. ALI MOHAMED SHEIN ASHINDA UCHAGUZI ZANZIBAR. CUF WAKUBALI MATOKEO

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Bw. Khatib Mwinyichande akitangaza matokeo ya urais Zanzibar katika hoteli ya Bwawani mjini Unguja usiku huu
Rais mteule wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akitoa
shukrani baada ya kutangazwa mshindi

Mgombea urais wa Chama cha Wananchi CUF
Maalim Seif Shariff Hamad akikubali matokeo


CHAMA CHA MAPINDUZI TAWI LA MOSCOW KINAPENDA KUMPONGEZA RAIS MTEULE WA AWAMU YA SABA DR. ALI MOHAMED SHEIN KWA USHINDI HUU MUHIMU.

No comments: