Waziri Mustafa (katikati waliokaa) akiwa na baadhi ya Watanzania waishio na wanaosoma vyuo vikuu mbalimbali Russia waliofurika kumlaki katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Balozi wa Tanzania Moscow Capt. mstaafu Balozi Jaka Mwambi.. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Urusi na kushoto ni Mke wa Balozi wa Tanzania Urusi
Waziri Mustafa akijipatia chakula cha jioni mara baada ya Mkutano na watanzania waishio Urusi pamoja na wanafunzi wanaosoma vyuo vikuu mbalimbali nchini Urusi. anayehudumia ni Proscovia Mwambi.
Waziri Mustafa akijipatia chakula cha jioni mara baada ya Mkutano na watanzania waishio Urusi pamoja na wanafunzi wanaosoma vyuo vikuu mbalimbali nchini Urusi
Waziri Mustafa akijibu swali kutoka kwa Watanzia waliofurika kumlaki katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Balozi wa Tanzania Moscow Capt. mstaafu Balozi Jaka Mwambi.
No comments:
Post a Comment