CHAMA CHA MAPINDUZI
UMOJA NI USHINDI, AMANI NA MAENDELEO ...!!!

Wednesday, August 3, 2011

KIKAO CHA KWANZA CHA SEKRETARIET MPYA: TAWI LA CCM-MOSCOW: JUMAPILI , 7/8/2011

Ndugu Mjumbe:
Kwa mujibu wa kanuni za Chama Cha Mapinduzi na Hadidu za Rejea za Mwongozo wa tawi la CCM Moscow, UNATAKIWA KUHUDHURIA KIKAO CHA SEKRETARIET YA TAWI la CCM MOSCOW ,kitakachofanyika siku ya Jumapili , tarehe 7 /8/2011 saa 16:30 Jioni - SIMBAD CAFE.

DHIMA YA KIKAO:
1
.Mapitio ya Utendaji wa Jumiya zote za Tawi na Uandaaji wa taarifa kwa wanachama kwa mwaka 2010/11 itakayowasilishwa ktka vikao vya juu vya Uongozi wa tawi .

2. Kuandaa Agenda za kikao cha kamati ya siasa ya tawi.

3. Mapitio ya vipaombele vya maendeleo ya tawi kwa mwaka 2011/12.

Wajumbe wafuatao wanatakiwa kufika bila kukosa kwa kuzingatia Muda uliopangwa:.

1.Kaimu Katibu Tawi: Ndg. Chrispin Bakunda
2.Katibu wa itikadi na Uenezi Tawi: Ndg. Kassim Koloa
3.Katibu wa Uchumi na fedha Tawi : Bi Hilda Kifanga.
4. Katibu UVCCM Tawi. Ndg. Octavian Nyalali
5.Katibu wa Uchumi na fedha UVCCM Tawi . Bi. Maria Semen Festo
6.Katibu UWT Tawi: Bi. Proscovia Jaka Mwambi.
7. Katibu wa Uchumi na fedha UWT Tawi : Bi, Ezelina Mwaifunga.

NB. Kwa Maelezo zaidi au maoni, usisite kuwasiliana na Mamlaka ya Utendaji kupitia mtandao wa facebook “chama cha mapinduzi-ccm” au Kwa Email .ccmmoscow@gmail.com . kwa kusoma taarifa za utendaji tembelea blog ya tawi ccmmoscow.blogspot.com


"TUMETHUBUTU ,TUMEWEZA na TUSONGE MBELE":


Imetolewa na
OFISI YA KATIBU WA TAWI :   3/8/2011
TAWI LA CCM MOSCOW , SHIRIKISHO LA URUSI.

No comments: